-
الجزء 30
الجزء 30
-
عدد الآيات :
564
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 4
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ
la hasha! Atavurumishwa katika moto hutama
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 5
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ
Na nani atakujuvya ni nini moto wa hutama?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 6
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 7
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ
Ambao unapanda nyoyoni
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 8
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ
Hakika huo utafungiwa nao
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 9
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ
Kwenye nguzo zilio nyooshwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FIIL
الآية : 1
أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصۡحَٰبِ ٱلۡفِيلِ
Je, hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FIIL
الآية : 2
أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ
Je, hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FIIL
الآية : 3
وَأَرۡسَلَ عَلَيۡهِمۡ طَيۡرًا أَبَابِيلَ
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FIIL
الآية : 4
تَرۡمِيهِم بِحِجَارَةٖ مِّن سِجِّيلٖ
(Ndege) Wanaowatupia mawe ya Motoni?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FIIL
الآية : 5
فَجَعَلَهُمۡ كَعَصۡفٖ مَّأۡكُولِۭ
(Mawe hayo) Yakawafanya kama majani yaliyoliwa (yaliyotafunwa)!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QURAISH
الآية : 1
لِإِيلَٰفِ قُرَيۡشٍ
Kwasababu ya kuzoea kwa Waqureshi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QURAISH
الآية : 2
إِۦلَٰفِهِمۡ رِحۡلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيۡفِ
Kuzoea kwao safari za Kusi na Kaskazi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QURAISH
الآية : 3
فَلۡيَعۡبُدُواْ رَبَّ هَٰذَا ٱلۡبَيۡتِ
Kwasababu ya hayo, wamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii (Tukufu ya Makka)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QURAISH
الآية : 4
ٱلَّذِيٓ أَطۡعَمَهُم مِّن جُوعٖ وَءَامَنَهُم مِّنۡ خَوۡفِۭ
Ambaye amewalisha wasipate njaa, na amewasalimisha wasipate hofu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-MAAUUN
الآية : 1
أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يُكَذِّبُ بِٱلدِّينِ
Je, umemuona anayekadhibisha (anayekataa) dini?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-MAAUUN
الآية : 2
فَذَٰلِكَ ٱلَّذِي يَدُعُّ ٱلۡيَتِيمَ
Basi huyo ni anayemsukuma (na kumtelekeza) yatima
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-MAAUUN
الآية : 3
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ
Wala hahimizi kumlisha (kumpa chakula) maskini
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-MAAUUN
الآية : 4
فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ
Basi, ole wao wanaoswali
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-MAAUUN
الآية : 5
ٱلَّذِينَ هُمۡ عَن صَلَاتِهِمۡ سَاهُونَ
Ambao wanapuuza Swala zao
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-MAAUUN
الآية : 6
ٱلَّذِينَ هُمۡ يُرَآءُونَ
Ambao wanaonyesha (matendo yao kwa watu ili wasifiwe)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-MAAUUN
الآية : 7
وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ
Na wanazuia msaada
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-KAUTHAR
الآية : 1
إِنَّآ أَعۡطَيۡنَٰكَ ٱلۡكَوۡثَرَ
Hakika tumekupa Kauthar (kheri nyingi ikiwemo mto wa Peponi)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-KAUTHAR
الآية : 2
فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنۡحَرۡ
Basi Swali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-KAUTHAR
الآية : 3
إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلۡأَبۡتَرُ
Hakika anayekuchukia (wewe Muhammad) ndiye hasa aliyepungukiwa (na kheri zote)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-KAAFIRUUN
الآية : 1
قُلۡ يَـٰٓأَيُّهَا ٱلۡكَٰفِرُونَ
Sema: Enyi makafiri
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-KAAFIRUUN
الآية : 2
لَآ أَعۡبُدُ مَا تَعۡبُدُونَ
Siabudu mnacho kiabudu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-KAAFIRUUN
الآية : 3
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
Na nyinyi hamuabudu ninaye muabudu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-KAAFIRUUN
الآية : 4
وَلَآ أَنَا۠ عَابِدٞ مَّا عَبَدتُّمۡ
Na mimi si mwenye kuviabudu mlivyo viabudu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-KAAFIRUUN
الآية : 5
وَلَآ أَنتُمۡ عَٰبِدُونَ مَآ أَعۡبُدُ
Na nyinyi si wenye kuabudu ninayemuabudu
-
-
تم
خطأ
-