-
الجزء 30
الجزء 30
-
عدد الآيات :
564
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 10
وَفِرۡعَوۡنَ ذِي ٱلۡأَوۡتَادِ
Na Firauni mwenye vigingi??
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 11
ٱلَّذِينَ طَغَوۡاْ فِي ٱلۡبِلَٰدِ
Ambao walifanya jeuri katika nchi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 12
فَأَكۡثَرُواْ فِيهَا ٱلۡفَسَادَ
Wakakithirisha humo ufisadi?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 13
فَصَبَّ عَلَيۡهِمۡ رَبُّكَ سَوۡطَ عَذَابٍ
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 14
إِنَّ رَبَّكَ لَبِٱلۡمِرۡصَادِ
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 15
فَأَمَّا ٱلۡإِنسَٰنُ إِذَا مَا ٱبۡتَلَىٰهُ رَبُّهُۥ فَأَكۡرَمَهُۥ وَنَعَّمَهُۥ فَيَقُولُ رَبِّيٓ أَكۡرَمَنِ
Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 16
وَأَمَّآ إِذَا مَا ٱبۡتَلَىٰهُ فَقَدَرَ عَلَيۡهِ رِزۡقَهُۥ فَيَقُولُ رَبِّيٓ أَهَٰنَنِ
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 17
كَلَّاۖ بَل لَّا تُكۡرِمُونَ ٱلۡيَتِيمَ
Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 18
وَلَا تَحَـٰٓضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ ٱلۡمِسۡكِينِ
Wala hamhimizani kulisha masikini;
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 19
وَتَأۡكُلُونَ ٱلتُّرَاثَ أَكۡلٗا لَّمّٗا
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 20
وَتُحِبُّونَ ٱلۡمَالَ حُبّٗا جَمّٗا
Na mnapenda mali mapenzi ya kupita kiasi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 21
كَلَّآۖ إِذَا دُكَّتِ ٱلۡأَرۡضُ دَكّٗا دَكّٗا
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 22
وَجَآءَ رَبُّكَ وَٱلۡمَلَكُ صَفّٗا صَفّٗا
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 23
وَجِاْيٓءَ يَوۡمَئِذِۭ بِجَهَنَّمَۚ يَوۡمَئِذٖ يَتَذَكَّرُ ٱلۡإِنسَٰنُ وَأَنَّىٰ لَهُ ٱلذِّكۡرَىٰ
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 24
يَقُولُ يَٰلَيۡتَنِي قَدَّمۡتُ لِحَيَاتِي
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia (mema) katika uhai wangu!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 25
فَيَوۡمَئِذٖ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُۥٓ أَحَدٞ
Basi siku hiyo hataadhibu yeyote kama kuadhibu kwake
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 26
وَلَا يُوثِقُ وَثَاقَهُۥٓ أَحَدٞ
Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 27
يَـٰٓأَيَّتُهَا ٱلنَّفۡسُ ٱلۡمُطۡمَئِنَّةُ
Ewe nafsi iliyo tua!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 28
ٱرۡجِعِيٓ إِلَىٰ رَبِّكِ رَاضِيَةٗ مَّرۡضِيَّةٗ
Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 29
فَٱدۡخُلِي فِي عِبَٰدِي
Basi ingia miongoni mwa waja wangu,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-FAJRI
الآية : 30
وَٱدۡخُلِي جَنَّتِي
Na ingia katika Pepo yangu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-BALAD
الآية : 1
لَآ أُقۡسِمُ بِهَٰذَا ٱلۡبَلَدِ
Naapa kwa Mji huu!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-BALAD
الآية : 2
وَأَنتَ حِلُّۢ بِهَٰذَا ٱلۡبَلَدِ
Nawe unakaa Mji huu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-BALAD
الآية : 3
وَوَالِدٖ وَمَا وَلَدَ
Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-BALAD
الآية : 4
لَقَدۡ خَلَقۡنَا ٱلۡإِنسَٰنَ فِي كَبَدٍ
Hakika tumemuumba mtu katika taabu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-BALAD
الآية : 5
أَيَحۡسَبُ أَن لَّن يَقۡدِرَ عَلَيۡهِ أَحَدٞ
Ati anadhani hapana yeyote atakaye muweza?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-BALAD
الآية : 6
يَقُولُ أَهۡلَكۡتُ مَالٗا لُّبَدًا
Anasema: Nimeteketeza mali chungu nzima
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-BALAD
الآية : 7
أَيَحۡسَبُ أَن لَّمۡ يَرَهُۥٓ أَحَدٌ
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-BALAD
الآية : 8
أَلَمۡ نَجۡعَل لَّهُۥ عَيۡنَيۡنِ
Kwani hatukumpa macho mawili?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-BALAD
الآية : 9
وَلِسَانٗا وَشَفَتَيۡنِ
Na ulimi, na midomo miwili?
-
-
تم
خطأ
-