-
الحزب 60
الحزب 60
-
عدد الآيات :
288
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 2
مَا ٱلۡقَارِعَةُ
Nini Inayo gonga?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 3
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ
Na nini kitakacho kujuilisha nini Inayo gonga?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 4
يَوۡمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo (vipepeo) walio tawanyika;
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 5
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 6
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 7
فَهُوَ فِي عِيشَةٖ رَّاضِيَةٖ
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 8
وَأَمَّا مَنۡ خَفَّتۡ مَوَٰزِينُهُۥ
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 9
فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٞ
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 10
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا هِيَهۡ
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-QAARIAH
الآية : 11
نَارٌ حَامِيَةُۢ
Ni Moto mkali!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ATTAKAATHUR
الآية : 1
أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ
Kumekushughulisheni kutafuta wingi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ATTAKAATHUR
الآية : 2
حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ
Mpaka mje makaburini!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ATTAKAATHUR
الآية : 3
كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Sivyo hivyo! Mtakuja kujua!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ATTAKAATHUR
الآية : 4
ثُمَّ كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ
Tena sivyo hivyo! Mtakuja kujua!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ATTAKAATHUR
الآية : 5
كَلَّا لَوۡ تَعۡلَمُونَ عِلۡمَ ٱلۡيَقِينِ
Sivyo hivyo! Lau mngelijua kujua kwa yakini,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ATTAKAATHUR
الآية : 6
لَتَرَوُنَّ ٱلۡجَحِيمَ
Basi bila ya shaka yoyote mtaiona Jahanamu!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ATTAKAATHUR
الآية : 7
ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيۡنَ ٱلۡيَقِينِ
Tena, bila ya shaka yoyote, mtaiona kwa jicho la yakini
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ATTAKAATHUR
الآية : 8
ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ
Tena bila ya shaka yoyote mtaulizwa siku hiyo juu ya neema
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-ASWRI
الآية : 1
وَٱلۡعَصۡرِ
Naapa kwa Zama!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-ASWRI
الآية : 2
إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ لَفِي خُسۡرٍ
Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-ASWRI
الآية : 3
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّـٰلِحَٰتِ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلۡحَقِّ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلصَّبۡرِ
Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 1
وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ
Olewake kila safihi, msengenyaji!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 2
ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ
Aliye kusanya mali na kuyahisabu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 3
يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 4
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ
la hasha! Atavurumishwa katika moto hutama
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 5
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ
Na nani atakujuvya ni nini moto wa hutama?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 6
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 7
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ
Ambao unapanda nyoyoni
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 8
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ
Hakika huo utafungiwa nao
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
AL-HUMAZAH
الآية : 9
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ
Kwenye nguzo zilio nyooshwa
-
-
تم
خطأ
-