-
الحزب 50
الحزب 50
-
عدد الآيات :
162
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 25
كَمۡ تَرَكُواْ مِن جَنَّـٰتٖ وَعُيُونٖ
Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 26
وَزُرُوعٖ وَمَقَامٖ كَرِيمٖ
Na mimea na vyeo vitukufu!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 27
وَنَعۡمَةٖ كَانُواْ فِيهَا فَٰكِهِينَ
Na neema walizokuwa wakiji-stareheshea!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 28
كَذَٰلِكَۖ وَأَوۡرَثۡنَٰهَا قَوۡمًا ءَاخَرِينَ
Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 29
فَمَا بَكَتۡ عَلَيۡهِمُ ٱلسَّمَآءُ وَٱلۡأَرۡضُ وَمَا كَانُواْ مُنظَرِينَ
Hazikuwalilia mbingu wala ardhi, wala hawakupewa muhula
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 30
وَلَقَدۡ نَجَّيۡنَا بَنِيٓ إِسۡرَـٰٓءِيلَ مِنَ ٱلۡعَذَابِ ٱلۡمُهِينِ
Na bila ya shaka tuliwaokoa Wana wa Israili katika adhabu ya kuwadhalilisha
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 31
مِن فِرۡعَوۡنَۚ إِنَّهُۥ كَانَ عَالِيٗا مِّنَ ٱلۡمُسۡرِفِينَ
Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 32
وَلَقَدِ ٱخۡتَرۡنَٰهُمۡ عَلَىٰ عِلۡمٍ عَلَى ٱلۡعَٰلَمِينَ
Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 33
وَءَاتَيۡنَٰهُم مِّنَ ٱلۡأٓيَٰتِ مَا فِيهِ بَلَـٰٓؤٞاْ مُّبِينٌ
Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 34
إِنَّ هَـٰٓؤُلَآءِ لَيَقُولُونَ
Hakika hawa wanasema:
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 35
إِنۡ هِيَ إِلَّا مَوۡتَتُنَا ٱلۡأُولَىٰ وَمَا نَحۡنُ بِمُنشَرِينَ
Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 36
فَأۡتُواْ بِـَٔابَآئِنَآ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ
Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 37
أَهُمۡ خَيۡرٌ أَمۡ قَوۡمُ تُبَّعٖ وَٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِمۡ أَهۡلَكۡنَٰهُمۡۚ إِنَّهُمۡ كَانُواْ مُجۡرِمِينَ
Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa’ na walio kuwa kabla yao? Tuliwaangamiza. Hakika hao walikuwa wakosefu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 38
وَمَا خَلَقۡنَا ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ وَمَا بَيۡنَهُمَا لَٰعِبِينَ
Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo baina yake kwa mchezo
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 39
مَا خَلَقۡنَٰهُمَآ إِلَّا بِٱلۡحَقِّ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَهُمۡ لَا يَعۡلَمُونَ
Hatukuviumba hivyo ila kwa Haki, lakini wengi wao hawajui
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 40
إِنَّ يَوۡمَ ٱلۡفَصۡلِ مِيقَٰتُهُمۡ أَجۡمَعِينَ
Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 41
يَوۡمَ لَا يُغۡنِي مَوۡلًى عَن مَّوۡلٗى شَيۡـٔٗا وَلَا هُمۡ يُنصَرُونَ
Siku ambayo rafiki hatamfaa rafiki yake kwa chochote, wala hawatanusuriwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 42
إِلَّا مَن رَّحِمَ ٱللَّهُۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ
Isipo kuwa atakaye mrehemu Allah. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 43
إِنَّ شَجَرَتَ ٱلزَّقُّومِ
Hakika Mti wa Zaqqum
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 44
طَعَامُ ٱلۡأَثِيمِ
Ni chakula cha mwenye dhambi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 45
كَٱلۡمُهۡلِ يَغۡلِي فِي ٱلۡبُطُونِ
Kama shaba iliyo yayushwa, hutokota matumboni
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 46
كَغَلۡيِ ٱلۡحَمِيمِ
Kama kutokota kwa maji ya moto
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 47
خُذُوهُ فَٱعۡتِلُوهُ إِلَىٰ سَوَآءِ ٱلۡجَحِيمِ
(Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 48
ثُمَّ صُبُّواْ فَوۡقَ رَأۡسِهِۦ مِنۡ عَذَابِ ٱلۡحَمِيمِ
Kisha mwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 49
ذُقۡ إِنَّكَ أَنتَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلۡكَرِيمُ
Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 50
إِنَّ هَٰذَا مَا كُنتُم بِهِۦ تَمۡتَرُونَ
Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 51
إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي مَقَامٍ أَمِينٖ
Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 52
فِي جَنَّـٰتٖ وَعُيُونٖ
Katika mabustani na chemchem
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 53
يَلۡبَسُونَ مِن سُندُسٖ وَإِسۡتَبۡرَقٖ مُّتَقَٰبِلِينَ
Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ADDUKHAAN
الآية : 54
كَذَٰلِكَ وَزَوَّجۡنَٰهُم بِحُورٍ عِينٖ
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurulaini
-
-
تم
خطأ
-