-
الحزب 38
الحزب 38
-
عدد الآيات :
172
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 171
إِلَّا عَجُوزٗا فِي ٱلۡغَٰبِرِينَ
Isipokuwa kikongwe katika waliokaa nyuma
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 172
ثُمَّ دَمَّرۡنَا ٱلۡأٓخَرِينَ
Kisha tukawaangamiza wale wengine
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 173
وَأَمۡطَرۡنَا عَلَيۡهِم مَّطَرٗاۖ فَسَآءَ مَطَرُ ٱلۡمُنذَرِينَ
Na tukawanyeshea mvua, basi ni mbaya mno mvua ya waliyoonywa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 174
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةٗۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ
Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 175
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 176
كَذَّبَ أَصۡحَٰبُ لۡـَٔيۡكَةِ ٱلۡمُرۡسَلِينَ
Watu wa Machakani waliwakanusha Mitume
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 177
إِذۡ قَالَ لَهُمۡ شُعَيۡبٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Shuaibu alipo waambia: Je! Hamfanyi mkamcha Allah?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 178
إِنِّي لَكُمۡ رَسُولٌ أَمِينٞ
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 179
فَٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi mcheni Allah, na nitiini mimi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 180
وَمَآ أَسۡـَٔلُكُمۡ عَلَيۡهِ مِنۡ أَجۡرٍۖ إِنۡ أَجۡرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Wala sikutakini ujira juu yake. Ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 181
۞أَوۡفُواْ ٱلۡكَيۡلَ وَلَا تَكُونُواْ مِنَ ٱلۡمُخۡسِرِينَ
Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 182
وَزِنُواْ بِٱلۡقِسۡطَاسِ ٱلۡمُسۡتَقِيمِ
Na pimeni kwa haki iliyo nyooka;
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 183
وَلَا تَبۡخَسُواْ ٱلنَّاسَ أَشۡيَآءَهُمۡ وَلَا تَعۡثَوۡاْ فِي ٱلۡأَرۡضِ مُفۡسِدِينَ
Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 184
وَٱتَّقُواْ ٱلَّذِي خَلَقَكُمۡ وَٱلۡجِبِلَّةَ ٱلۡأَوَّلِينَ
Na mcheni aliye kuumbeni nyinyi na vizazi vilivyo tangulia
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 185
قَالُوٓاْ إِنَّمَآ أَنتَ مِنَ ٱلۡمُسَحَّرِينَ
Wakasema: Hakika wewe ni katika walio rogwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 186
وَمَآ أَنتَ إِلَّا بَشَرٞ مِّثۡلُنَا وَإِن نَّظُنُّكَ لَمِنَ ٱلۡكَٰذِبِينَ
Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe ni katika waongo
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 187
فَأَسۡقِطۡ عَلَيۡنَا كِسَفٗا مِّنَ ٱلسَّمَآءِ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّـٰدِقِينَ
Hebu tuangushie vipande kutoka mbinguni ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 188
قَالَ رَبِّيٓ أَعۡلَمُ بِمَا تَعۡمَلُونَ
Akasema: Mola wangu Mlezi anajua zaidi mnayo yatenda
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 189
فَكَذَّبُوهُ فَأَخَذَهُمۡ عَذَابُ يَوۡمِ ٱلظُّلَّةِۚ إِنَّهُۥ كَانَ عَذَابَ يَوۡمٍ عَظِيمٍ
Basi walimkanusha, na ikawashika adhabu ya siku ya kivuli. Hakika hiyo ilikuwa adhabu ya siku kubwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 190
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةٗۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ
Hakika katika hayo ipo Ishara, lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 191
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ ٱلۡعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 192
وَإِنَّهُۥ لَتَنزِيلُ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ
Na bila ya shaka huu ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 193
نَزَلَ بِهِ ٱلرُّوحُ ٱلۡأَمِينُ
Ameuteremsha Roho mua-minifu,(jibril)
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 194
عَلَىٰ قَلۡبِكَ لِتَكُونَ مِنَ ٱلۡمُنذِرِينَ
Juu ya moyo wako, ili uwe katika Waonyaji,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 195
بِلِسَانٍ عَرَبِيّٖ مُّبِينٖ
Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 196
وَإِنَّهُۥ لَفِي زُبُرِ ٱلۡأَوَّلِينَ
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 197
أَوَلَمۡ يَكُن لَّهُمۡ ءَايَةً أَن يَعۡلَمَهُۥ عُلَمَـٰٓؤُاْ بَنِيٓ إِسۡرَـٰٓءِيلَ
Je! Haikuwa kwao ni Ishara kwamba wanayajua haya wanazuoni wa Wana wa Israili?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 198
وَلَوۡ نَزَّلۡنَٰهُ عَلَىٰ بَعۡضِ ٱلۡأَعۡجَمِينَ
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 199
فَقَرَأَهُۥ عَلَيۡهِم مَّا كَانُواْ بِهِۦ مُؤۡمِنِينَ
Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASH-SHUARAA
الآية : 200
كَذَٰلِكَ سَلَكۡنَٰهُ فِي قُلُوبِ ٱلۡمُجۡرِمِينَ
Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu
-
-
تم
خطأ
-