السورة: AL-BAQARAH 

الآية : 202

أُوْلَـٰٓئِكَ لَهُمۡ نَصِيبٞ مِّمَّا كَسَبُواْۚ وَٱللَّهُ سَرِيعُ ٱلۡحِسَابِ

Hao wanalo fungu katika waliyoyachuma. Na Allah ni Mwepesi wa kuhesabu