-
الحزب 46
الحزب 46
-
عدد الآيات :
157
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 145
۞فَنَبَذۡنَٰهُ بِٱلۡعَرَآءِ وَهُوَ سَقِيمٞ
Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 146
وَأَنۢبَتۡنَا عَلَيۡهِ شَجَرَةٗ مِّن يَقۡطِينٖ
Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung’unye
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 147
وَأَرۡسَلۡنَٰهُ إِلَىٰ مِاْئَةِ أَلۡفٍ أَوۡ يَزِيدُونَ
Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 148
فَـَٔامَنُواْ فَمَتَّعۡنَٰهُمۡ إِلَىٰ حِينٖ
Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 149
فَٱسۡتَفۡتِهِمۡ أَلِرَبِّكَ ٱلۡبَنَاتُ وَلَهُمُ ٱلۡبَنُونَ
Basi waulize: Ati Mola wako Mlezi ndiye mwenye watoto wa kike, na wao wanao watoto wa kiume?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 150
أَمۡ خَلَقۡنَا ٱلۡمَلَـٰٓئِكَةَ إِنَٰثٗا وَهُمۡ شَٰهِدُونَ
Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 151
أَلَآ إِنَّهُم مِّنۡ إِفۡكِهِمۡ لَيَقُولُونَ
Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 152
وَلَدَ ٱللَّهُ وَإِنَّهُمۡ لَكَٰذِبُونَ
Allah amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 153
أَصۡطَفَى ٱلۡبَنَاتِ عَلَى ٱلۡبَنِينَ
Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 154
مَا لَكُمۡ كَيۡفَ تَحۡكُمُونَ
Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 155
أَفَلَا تَذَكَّرُونَ
Hamkumbuki?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 156
أَمۡ لَكُمۡ سُلۡطَٰنٞ مُّبِينٞ
Au mnayo hoja iliyo wazi?
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 157
فَأۡتُواْ بِكِتَٰبِكُمۡ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 158
وَجَعَلُواْ بَيۡنَهُۥ وَبَيۡنَ ٱلۡجِنَّةِ نَسَبٗاۚ وَلَقَدۡ عَلِمَتِ ٱلۡجِنَّةُ إِنَّهُمۡ لَمُحۡضَرُونَ
Na wameweka mahusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 159
سُبۡحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ
Subhana ‘Llah Ametakasika Allah na hayo wanayo msingizia
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 160
إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Allah walio safishwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 161
فَإِنَّكُمۡ وَمَا تَعۡبُدُونَ
Basi hakika nyinyi na mnao waabudu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 162
مَآ أَنتُمۡ عَلَيۡهِ بِفَٰتِنِينَ
Hamwezi kuwapoteza
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 163
إِلَّا مَنۡ هُوَ صَالِ ٱلۡجَحِيمِ
Isipo kuwa yule atakaye ingia Motoni
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 164
وَمَامِنَّآ إِلَّا لَهُۥ مَقَامٞ مَّعۡلُومٞ
Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 165
وَإِنَّا لَنَحۡنُ ٱلصَّآفُّونَ
Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 166
وَإِنَّا لَنَحۡنُ ٱلۡمُسَبِّحُونَ
Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 167
وَإِن كَانُواْ لَيَقُولُونَ
Na walikuwapo walio kuwa wakisema:
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 168
لَوۡ أَنَّ عِندَنَا ذِكۡرٗا مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ
Tungelikuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 169
لَكُنَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ
Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Allah wenye ikhlasi
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 170
فَكَفَرُواْ بِهِۦۖ فَسَوۡفَ يَعۡلَمُونَ
Lakini waliukataa. Basi watakuja jua
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 171
وَلَقَدۡ سَبَقَتۡ كَلِمَتُنَا لِعِبَادِنَا ٱلۡمُرۡسَلِينَ
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 172
إِنَّهُمۡ لَهُمُ ٱلۡمَنصُورُونَ
Ya kuwa wao bila ya shaka ndio watakao nusuriwa
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 173
وَإِنَّ جُندَنَا لَهُمُ ٱلۡغَٰلِبُونَ
Na kwamba jeshi letu ndilo litakalo shinda
-
-
تم
خطأ
-
السورة:
ASSWAAFFAAT
الآية : 174
فَتَوَلَّ عَنۡهُمۡ حَتَّىٰ حِينٖ
Basi waachilie mbali kwa muda
-
-
تم
خطأ
-