السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 145

۞فَنَبَذۡنَٰهُ بِٱلۡعَرَآءِ وَهُوَ سَقِيمٞ

Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 146

وَأَنۢبَتۡنَا عَلَيۡهِ شَجَرَةٗ مِّن يَقۡطِينٖ

Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung’unye



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 147

وَأَرۡسَلۡنَٰهُ إِلَىٰ مِاْئَةِ أَلۡفٍ أَوۡ يَزِيدُونَ

Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 148

فَـَٔامَنُواْ فَمَتَّعۡنَٰهُمۡ إِلَىٰ حِينٖ

Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 149

فَٱسۡتَفۡتِهِمۡ أَلِرَبِّكَ ٱلۡبَنَاتُ وَلَهُمُ ٱلۡبَنُونَ

Basi waulize: Ati Mola wako Mlezi ndiye mwenye watoto wa kike, na wao wanao watoto wa kiume?



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 150

أَمۡ خَلَقۡنَا ٱلۡمَلَـٰٓئِكَةَ إِنَٰثٗا وَهُمۡ شَٰهِدُونَ

Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 151

أَلَآ إِنَّهُم مِّنۡ إِفۡكِهِمۡ لَيَقُولُونَ

Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 152

وَلَدَ ٱللَّهُ وَإِنَّهُمۡ لَكَٰذِبُونَ

Allah amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 153

أَصۡطَفَى ٱلۡبَنَاتِ عَلَى ٱلۡبَنِينَ

Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 154

مَا لَكُمۡ كَيۡفَ تَحۡكُمُونَ

Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi?



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 155

أَفَلَا تَذَكَّرُونَ

Hamkumbuki?



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 156

أَمۡ لَكُمۡ سُلۡطَٰنٞ مُّبِينٞ

Au mnayo hoja iliyo wazi?



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 157

فَأۡتُواْ بِكِتَٰبِكُمۡ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ

Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 158

وَجَعَلُواْ بَيۡنَهُۥ وَبَيۡنَ ٱلۡجِنَّةِ نَسَبٗاۚ وَلَقَدۡ عَلِمَتِ ٱلۡجِنَّةُ إِنَّهُمۡ لَمُحۡضَرُونَ

Na wameweka mahusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 159

سُبۡحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ

Subhana ‘Llah Ametakasika Allah na hayo wanayo msingizia



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 160

إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ

Isipo kuwa waja wa Allah walio safishwa



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 161

فَإِنَّكُمۡ وَمَا تَعۡبُدُونَ

Basi hakika nyinyi na mnao waabudu



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 162

مَآ أَنتُمۡ عَلَيۡهِ بِفَٰتِنِينَ

Hamwezi kuwapoteza



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 163

إِلَّا مَنۡ هُوَ صَالِ ٱلۡجَحِيمِ

Isipo kuwa yule atakaye ingia Motoni



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 164

وَمَامِنَّآ إِلَّا لَهُۥ مَقَامٞ مَّعۡلُومٞ

Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 165

وَإِنَّا لَنَحۡنُ ٱلصَّآفُّونَ

Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 166

وَإِنَّا لَنَحۡنُ ٱلۡمُسَبِّحُونَ

Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 167

وَإِن كَانُواْ لَيَقُولُونَ

Na walikuwapo walio kuwa wakisema:



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 168

لَوۡ أَنَّ عِندَنَا ذِكۡرٗا مِّنَ ٱلۡأَوَّلِينَ

Tungelikuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 169

لَكُنَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ

Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Allah wenye ikhlasi



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 170

فَكَفَرُواْ بِهِۦۖ فَسَوۡفَ يَعۡلَمُونَ

Lakini waliukataa. Basi watakuja jua



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 171

وَلَقَدۡ سَبَقَتۡ كَلِمَتُنَا لِعِبَادِنَا ٱلۡمُرۡسَلِينَ

Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 172

إِنَّهُمۡ لَهُمُ ٱلۡمَنصُورُونَ

Ya kuwa wao bila ya shaka ndio watakao nusuriwa



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 173

وَإِنَّ جُندَنَا لَهُمُ ٱلۡغَٰلِبُونَ

Na kwamba jeshi letu ndilo litakalo shinda



السورة: ASSWAAFFAAT 

الآية : 174

فَتَوَلَّ عَنۡهُمۡ حَتَّىٰ حِينٖ

Basi waachilie mbali kwa muda