السورة: ATTAKAATHUR

الآية : 1

أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ

Kumekushughulisheni kutafuta wingi



السورة: ATTAKAATHUR

الآية : 2

حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ

Mpaka mje makaburini!



السورة: ATTAKAATHUR

الآية : 3

كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ

Sivyo hivyo! Mtakuja kujua!



السورة: ATTAKAATHUR

الآية : 4

ثُمَّ كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ

Tena sivyo hivyo! Mtakuja kujua!



السورة: ATTAKAATHUR

الآية : 5

كَلَّا لَوۡ تَعۡلَمُونَ عِلۡمَ ٱلۡيَقِينِ

Sivyo hivyo! Lau mngelijua kujua kwa yakini,



السورة: ATTAKAATHUR

الآية : 6

لَتَرَوُنَّ ٱلۡجَحِيمَ

Basi bila ya shaka yoyote mtaiona Jahanamu!



السورة: ATTAKAATHUR

الآية : 7

ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيۡنَ ٱلۡيَقِينِ

Tena, bila ya shaka yoyote, mtaiona kwa jicho la yakini



السورة: ATTAKAATHUR

الآية : 8

ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ

Tena bila ya shaka yoyote mtaulizwa siku hiyo juu ya neema