إِنَّهُۥ عَلَىٰ رَجۡعِهِۦ لَقَادِرٞ
Hakika Yeye ana uwezo wa kumrudisha
إِلَّا مَا شَآءَ ٱللَّهُۚ إِنَّهُۥ يَعۡلَمُ ٱلۡجَهۡرَ وَمَا يَخۡفَىٰ
Ila akipenda Allah. Hakika Yeye anayajua yaliyo dhaahiri na yaliyo fichikana
وَأَمَّا بِنِعۡمَةِ رَبِّكَ فَحَدِّثۡ
Na neema za Mola wako Mlezi zisimlie
أَلَمۡ يَعۡلَم بِأَنَّ ٱللَّهَ يَرَىٰ
Hajui ya kwamba Allah anaona?
وَمَآ أُمِرُوٓاْ إِلَّا لِيَعۡبُدُواْ ٱللَّهَ مُخۡلِصِينَ لَهُ ٱلدِّينَ حُنَفَآءَ وَيُقِيمُواْ ٱلصَّلَوٰةَ وَيُؤۡتُواْ ٱلزَّكَوٰةَۚ وَذَٰلِكَ دِينُ ٱلۡقَيِّمَةِ
Nao hawakuamrishwa kitu isipokuwa wamuabudu Allah kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Sala, na watoe Zaka. Na hiyo ndiyo Dini madhubuti
فَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ وَٱسۡتَغۡفِرۡهُۚ إِنَّهُۥ كَانَ تَوَّابَۢا
Basi zitakase sifa za Mola wako Mlezi na muombe msamaha. Hakika, Yeye (Allah) amekuwa Mwenye kukubali sana toba. Sura imetoa utabiri wa kifo cha Mtume rehma na amani ziwe juu yake
قُلۡ هُوَ ٱللَّهُ أَحَدٌ
Sema: Yeye Allah ni wa pekee
ٱللَّهُ ٱلصَّمَدُ
Allah ndiye tu Mkusudiwa (katika kuabudiwa, kutegemewa na kutatua shida za watu)
لَمۡ يَلِدۡ وَلَمۡ يُولَدۡ
Hakuzaa[1] na hakuzaliwa.[2]
1- - Kwa maana hiyo hana mtoto.
2- - Kwa maana hiyo hana baba wala mama.
---------------
------------------------------------------------------------
---------------
------------------------------------------------------------
وَلَمۡ يَكُن لَّهُۥ كُفُوًا أَحَدُۢ
Na hakuna yeyote anaye fanana naye
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Mfalme wa watu