السورة: AL-A’LAQ 

الآية : 7

أَن رَّءَاهُ ٱسۡتَغۡنَىٰٓ

Akijiona katajirika



السورة: AL-AADIYAAT 

الآية : 6

إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ لِرَبِّهِۦ لَكَنُودٞ

Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!



السورة: AL-AADIYAAT 

الآية : 7

وَإِنَّهُۥ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٞ

Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!