فَأَمَّا مَن طَغَىٰ
Basi yule aliyepindukia mipaka na kuasi
مشاركة :
وَءَاثَرَ ٱلۡحَيَوٰةَ ٱلدُّنۡيَا
Na akapenda zaidi maisha ya dunia
فَإِنَّ ٱلۡجَحِيمَ هِيَ ٱلۡمَأۡوَىٰ
Kwa hakika Jahannamu ndiyo makaazi yake!
وَتُحِبُّونَ ٱلۡمَالَ حُبّٗا جَمّٗا
Na mnapenda mali mapenzi ya kupita kiasi
وَإِنَّهُۥ لِحُبِّ ٱلۡخَيۡرِ لَشَدِيدٌ
Naye hakika bila ya shaka anapenda sana (kheri) mali!
أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ
Kumekushughulisheni kutafuta wingi
حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ
Mpaka mje makaburini!