الٓمٓ
Alif Laam Miim[1]
1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.
الٓمٓ
Alif Laam Miim[1]
1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.
الٓمٓصٓ
Allah ndiye Mjuzi zaidi wa alichokikusudia katika herufi hizi
الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡحَكِيمِ
Alif laam raa. Hizo ni Aya za kitabu chenye hekima nyingi
الٓرۚ كِتَٰبٌ أُحۡكِمَتۡ ءَايَٰتُهُۥ ثُمَّ فُصِّلَتۡ مِن لَّدُنۡ حَكِيمٍ خَبِيرٍ
Alif, laam, raa (hizi ni herufi za mkato na Allah ndiye anayejua maana yake). Hiki ni kitabu (ambacho) zimetengenezwa vyema Aya zake kisha zimefafanuliwa kutoka kwa aliye na Hekima, Mwenye habari nyingi
الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ
Alif Laam Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu kinachobainisha
1- - Allah ndiye ajuaye zaidi maana ya herufi mkato hizi.
الٓمٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِۗ وَٱلَّذِيٓ أُنزِلَ إِلَيۡكَ مِن رَّبِّكَ ٱلۡحَقُّ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَ ٱلنَّاسِ لَا يُؤۡمِنُونَ
Alif Laam Miim Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu. Na (hii Qur’an ni wahyi) ambayo umeteremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni haki lakini watu wengi hawaamini
1- - Allah pekee ndiye anayejua maana ya herufi hizi mkato.
الٓرۚ كِتَٰبٌ أَنزَلۡنَٰهُ إِلَيۡكَ لِتُخۡرِجَ ٱلنَّاسَ مِنَ ٱلظُّلُمَٰتِ إِلَى ٱلنُّورِ بِإِذۡنِ رَبِّهِمۡ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡعَزِيزِ ٱلۡحَمِيدِ
Alif Lam Raa[1]. Hiki ni Kitabu tulichokiteremsha kwako ili kwacho uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa
1- - Allah ndiye ajuaye maana halisi ya herufi hizi.
الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ وَقُرۡءَانٖ مُّبِينٖ
Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu na Qur’ani inayobainisha
كٓهيعٓصٓ
Kaaf Haa Yaa A’yn Swaad
طه
Twaahaa!
طسٓمٓ
Twaa Siin Miim
طسٓۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡقُرۡءَانِ وَكِتَابٖ مُّبِينٍ
Twaa Siin. Hizo ni Aya za Qur’ani na Kitabu kinacho bainisha
طسٓمٓ
Twaa Siin Miim
الٓمٓ
Alif Laam Miim
الٓمٓ
Alif Laam Miim
الٓمٓ
Alif Laam Miim
الٓمٓ
Alif Laam Miim
يسٓ
Yaasiin
صٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ذِي ٱلذِّكۡرِ
Swaad. Nina apa kwa Qur’ani yenye mawaidha
حمٓ
Haamiim
حمٓ
Haamiim
حمٓ
Haamiim
عٓسٓقٓ
A’yn, Siin, Qaaf
حمٓ
Haamiim
حمٓ
Haamiim
حمٓ
Haamiim
حمٓ
Haamiim
قٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ٱلۡمَجِيدِ
Qaaf. Nina apa kwa Qur’ani Tukufu
نٓۚ وَٱلۡقَلَمِ وَمَا يَسۡطُرُونَ
Nuun. Nina apa kwa kalamu na yale wayoyaandika