السورة: AL-BAQARAH 

الآية : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


السورة: AL-IMRAN 

الآية : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim[1]


1- - Allah ndiye ajuwaye zaidi madhumuni ya herufi hizi.


السورة: AL-AARAAF 

الآية : 1

الٓمٓصٓ

Allah ndiye Mjuzi zaidi wa alichokikusudia katika herufi hizi



السورة: YUNUS 

الآية : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡحَكِيمِ

Alif laam raa. Hizo ni Aya za kitabu chenye hekima nyingi



السورة: HUUD 

الآية : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أُحۡكِمَتۡ ءَايَٰتُهُۥ ثُمَّ فُصِّلَتۡ مِن لَّدُنۡ حَكِيمٍ خَبِيرٍ

Alif, laam, raa (hizi ni herufi za mkato na Allah ndiye anayejua maana yake). Hiki ni kitabu (ambacho) zimetengenezwa vyema Aya zake kisha zimefafanuliwa kutoka kwa aliye na Hekima, Mwenye habari nyingi



السورة: YUSUF 

الآية : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ

Alif Laam Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu kinachobainisha


1- - Allah ndiye ajuaye zaidi maana ya herufi mkato hizi.


السورة: AR-RA’D 

الآية : 1

الٓمٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِۗ وَٱلَّذِيٓ أُنزِلَ إِلَيۡكَ مِن رَّبِّكَ ٱلۡحَقُّ وَلَٰكِنَّ أَكۡثَرَ ٱلنَّاسِ لَا يُؤۡمِنُونَ

Alif Laam Miim Raa[1]. Hizo ni Aya za Kitabu. Na (hii Qur’an ni wahyi) ambayo umeteremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi ni haki lakini watu wengi hawaamini


1- - Allah pekee ndiye anayejua maana ya herufi hizi mkato.


السورة: IBRAHIM 

الآية : 1

الٓرۚ كِتَٰبٌ أَنزَلۡنَٰهُ إِلَيۡكَ لِتُخۡرِجَ ٱلنَّاسَ مِنَ ٱلظُّلُمَٰتِ إِلَى ٱلنُّورِ بِإِذۡنِ رَبِّهِمۡ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡعَزِيزِ ٱلۡحَمِيدِ

Alif Lam Raa[1]. Hiki ni Kitabu tulichokiteremsha kwako ili kwacho uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa


1- - Allah ndiye ajuaye maana halisi ya herufi hizi.


السورة: AL-HIJRI 

الآية : 1

الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ وَقُرۡءَانٖ مُّبِينٖ

Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu na Qur’ani inayobainisha



السورة: MARYAM 

الآية : 1

كٓهيعٓصٓ

Kaaf Haa Yaa A’yn Swaad



السورة: TWAHA 

الآية : 1

طه

Twaahaa!



السورة: ASH-SHUARAA 

الآية : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



السورة: ANNAMLI 

الآية : 1

طسٓۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡقُرۡءَانِ وَكِتَابٖ مُّبِينٍ

Twaa Siin. Hizo ni Aya za Qur’ani na Kitabu kinacho bainisha



السورة: AL-QASWAS 

الآية : 1

طسٓمٓ

Twaa Siin Miim



السورة: AL-ANKABUUT 

الآية : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



السورة: ARRUUM 

الآية : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



السورة: LUQMAAN 

الآية : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



السورة: ASSAJDAH 

الآية : 1

الٓمٓ

Alif Laam Miim



السورة: YAASIIN 

الآية : 1

يسٓ

Yaasiin



السورة: SWAAD 

الآية : 1

صٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ذِي ٱلذِّكۡرِ

Swaad. Nina apa kwa Qur’ani yenye mawaidha



السورة: GHAAFIR 

الآية : 1

حمٓ

Haamiim



السورة: FUSSWILAT 

الآية : 1

حمٓ

Haamiim



السورة: ASH-SHUURAA 

الآية : 1

حمٓ

Haamiim



السورة: ASH-SHUURAA 

الآية : 2

عٓسٓقٓ

A’yn, Siin, Qaaf



السورة: AZZUKHRUF 

الآية : 1

حمٓ

Haamiim



السورة: ADDUKHAAN 

الآية : 1

حمٓ

Haamiim



السورة: AL-JAATHIYA 

الآية : 1

حمٓ

Haamiim



السورة: AL-AHQAAF 

الآية : 1

حمٓ

Haamiim



السورة: QAAF 

الآية : 1

قٓۚ وَٱلۡقُرۡءَانِ ٱلۡمَجِيدِ

Qaaf. Nina apa kwa Qur’ani Tukufu



السورة: AL-QALAM 

الآية : 1

نٓۚ وَٱلۡقَلَمِ وَمَا يَسۡطُرُونَ

Nuun. Nina apa kwa kalamu na yale wayoyaandika